current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Zungushie lyrics
Zungushie lyrics
turnover timeļ¼š2024-10-05 14:06:49
Zungushie lyrics

Nadia

Maua Sama

(Teddy B)

Unaipenda wapi sakafu ama juu kwa juu

Nikupe wapi mvunguni ama mtapanda juu

Walahi leo mpaka kilele (Mpaka kilele)

Nitampa nani kama si yeye (Kama si yeye?)

Nimekuwa na mgonjwa

Njoo kwangu nikupe dawa

Mganga toka Sumbawanga

Natibu mapenzi ndo mimi hapa

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)

Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)

Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Yaani mautamu

Yangu vinono anajinoma kwa mahaba

Mwalimu nampaga somo ndani

Mambo si haba

Amenipitisha, kanitikisa

Akinipa mwiba si nahama

Akinitouch na najimaliza

Kanifunga sitoki kwa mahaba

Kwa ubani nimzungushie

Yaani hata nazi mi nimvunjie

Nataka nimzungushie

Bigati the gati de nimzungushie

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)

Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)

Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Changanya kama karanga

Huyu ashafanikiwa

Ananifuata kama kuku

Kifaranga nimechanganyikiwa

Yaani kama unipeleke nyumbani

Unipe mapenzi sham sham

Mauno bila mifupa

Chumbani nikimnegua hadi tam tam yeah

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)

Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Jamani nimzungushie (Nimzungushie)

Nataka nimzungushie (Nimzungushie)

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by