current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Wivu lyrics
Wivu lyrics
turnover timeļ¼š2024-09-29 18:34:02
Wivu lyrics

AM Records

Eiyeh

Niamini leo hii

Sitamani mwingine tena

Kazi zangu mishemishe

Nitarudi nyumbani mapema

Unachonipa baby, sitokaa nikuumize

Na zile raha unazonipa, wewe

Napenda unavyokata na kunipa taratibu

Mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu

Nikikushika unanitazama unaona aibu

We tabibu, unanipa raha

Unavyokata na kunipa taratibu

Mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu

Nikikushika unanitazama unaona aibu

We tabibu ila ilaa

Husije fanya visa mina wivu

Na moyo utaniumiza mina wivu

Na hofu watakuteka mina wivu

Sitaki nile mbichi wao mbivu

Naandika ngoma ya mapenzi nakuona wewe

Na vinanda vya bob vya bembeleza

Nishagoma kwingine, kwako nipewe

Umeniteka mazima nimelegeza

And everything I do for you

Is from my heart as you know

Na kila siku mimi

napambana we ubagamee

Napenda unavyokata na kunipa taratibu

Mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu

Nikikushika unanitazama unaona aibu

We tabibu, unanipa raha

Unavyokata na kunipa taratibu

Mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu

Nikikushika unanitazama unaona aibu

We tabibu ila ilaa

Husije fanya visa mina wivu

Na moyo utaniumiza mina wivu

Na hofu watakuteka mina wivu

Sitaki nile mbichi wao mbivu

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by