current location : Lyricf.com
/
/
Utatulia lyrics
Utatulia lyrics
turnover time:2024-06-30 07:32:06
Utatulia lyrics

Kiangazi masika ukiichanganya

Vyote vikashuka kwangu vitanielemea

Ntakosa pa kushika ntavavanya

Wewe ndo mwandani wangu nliokuzoea

Ntunza vyangu visiri mwenye kunisitiri

Fundi mitambo

Kinga yangu ya mwili usiyelipa bili

Kuchoma changu

Simtaki kafiri jangiri, mwingi wa mambo

Moyo akaukatilli

Nikondeshe mwili ajifanye rambo

Si unajua

Dalili ya mvua mawingu

Ikitaka kunyesha

Huwa yanatanda

Nami si unanjua aah

Nimeumbwa na wivu

Kidogo tu presha

Yanshuka yapanda

Niahidi kama

(Utatulia aaah)

Baby, niahidi kama

(Utatulia aaah)

Hhhmm nisibaki nkashika tama

(Utatulia aaah)

Baby, niahidi kama

(Utatulia aaah)

Hhhmm wasiniibie cha ngama

Maneno yangu

Si biblia wala masaafu

Useme usibadili hhhmm

Jichunge kipenzi changu

Unanisikia usicheze rafu

Yatimie waliotabiri

Yeah yeah…

Usijifanye Ronaldinho

Penzi utie mbwembwe utahaaribu

Visokolokwinyo wakupitie denge kukujaribu

Kina capachino

Wakakutia wenge kwa vizabibu

Wakugongeshe mvinyo

Ukaota mapembe iwe aibu

Si unajua

Dalili ya mvua mawingu

Ikitaka kunyesha

Huwa yanatanda

Nami si unanjua aah

Nimeumbwa na wivu

Kidogo tu presha

Yanishuka yapanda

Niahidi kama

(Utatulia aaah)

Baby, niahidi kama

(Utatulia aaah)

Hhhmm nisibaki nkashika tama

(Utatulia aaah)

Baby, niahidi kama

(Utatulia aaah)

Hhhmm wasiniibie cha ngama

Eeeh eh yani kama

(ukitulia tulia)

Sitathubutu macho kupepesa

(ukitulia tulia)

Ukinipa kiduchu nitatosheka

(kama ukitulia tulia)

Sitofwata nguruchu niende teseka

(ukitulia tulia)

Eeeh Nami ntatulia

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Lava Lava
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
Lava Lava
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved