current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Unaibiwa lyrics
Unaibiwa lyrics
turnover timeļ¼š2024-10-05 15:02:42
Unaibiwa lyrics

Ayolizer!

Usidate na njonjo za mapenzi

Vicheko bandia usoni kudeka kumbe ana pretend

Maufundi toka Tanga na Zenji

Vionjo mitego unase ashike pochi umwage chenji

Anakuchanganya kiunoni shanga

Marashi kama uko peponi

Mtoto sauti kinanda

Ya kumtoa chatu pangoni

Ukishatafuna karanga

Hutaki hata aende sokoni

Anakuchuna mafaranga

Unabaki na vumbi mfukoni

Ukiwa na pesa utasifiwa kitambi

Baby me I like that

Nakukupamba kwenye simu

Video Snapchat

Kumbe hana maana hadi mangi

Anamwita sweetheart

Kisa anakesha gym

Kutafuta six packs

Unaibiwa

Unaibiwa

Unaibiwa

Unaibiwa

Kuna kina Rose Visosa

Wale wapenda Verosa

Ukipita na shati na moka

Lazima watashoboka

Wakiomba lift, ogopa

Miguu dashboard vishoka

Mchunguze cheni, goroka

Nywele na pochi kakopa, eh

Usije kuyavamia yasije yakakutesa

Hawachelewagi kukimbia

Kuna wenzako wanalia

Walizani mapenzi pesa

Kwenye suruali vibamia

Hata ukimuonga Ferrari

Hatokuona rijali

Wakati chumbani we beki

Ukifunga moja tu chali

Atakamatwa na mangangali vijana machachali

Hawachagui sehemu ya vita uvunguni na juu ya dali

Ukiwa na pesa utasifiwa kitambi

Baby me I like that

Nakukupamba kwenye simu

Video Snapchat

Kumbe hana maana hadi mangi

Anamwita sweetheart

Kisa anakesha gym

Kutafuta six packs

Unaibiwa

Unaibiwa

Unaibiwa

Unaibiwa

Unadhani niwapekeako

Kumbe wengine wameshaweka kambi

Kakupendea macho

Wapo wengine kawapendea rangi

Ye ni gari la dampo

Hachagui taka dereva mpe ganji

Wakubadili sample

Akila mihogo karoti hazipandi

Unaibiwa

Unaibiwa

Unaibiwa

Unaibiwa

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by