current location : Lyricf.com
/
/
Single lyrics
Single lyrics
turnover time:2024-06-30 08:03:19
Single lyrics

Miaka ishirini na tatu sasa

Lava nimekua si mtoto tena

Nisha pitia mingi mikasa

Na nimesha jua lipi baya na jema

Wazazi wanauliza kutwa wanapanda juu

Etikabla hawajakufa waone wajukuu

Na mitandaoni kukikucha mashabiki buu

Mbona unatuyeyusha VIP Shemeji

Wen do kipenzi cha walimbwende tunaona

Insta yako DM Imenoma

Unapendwa wadada kila kona tunaona

Haaa wanashona chingwea musoma

Wanakuja kwa wingi mbona

Na mabusu unapigwa tunaona tunaona

Mpaka unazimia VIP

Nipo single, wanauliza VIP

Nipo single, wanauliza VIP

Nipo single, heee wanauliza VIP

Nipo single, heee mbona nipo single

Hummm mashabiki wengine visilani

Hawana dogo

Wakikuandama jamani

Kukuzodoa zodo

ET muangalie Rayvanny

Yake mikogo

Analinga na mama Jaidani

Hawataki shobo

Eeeh ! Na wengine hunambia

Jogoo hapandi mtungi

Mbona wa kina rukia

Na kina mbosso kirungi

Achaga masihara

Harmonize anajumwaga na Sarah huum

Jitahidi tafadhari, upate yoyote

Heee kaza usiwe fala

Zichange hizo gwala gwala

Mmilko hamiza na zari

Kachubu Dangote

We ndo kipenzi cha walimbwende tunaona

Insta yako dm Imenoma

Unapendwa wadada kila kona tunaona

Ha! Wanashona chingwea musoma

Wanakuja kwa wingi mbona

Na mabusu unapigwa tunaona tunaona

Mpaka unazimia vip

Nipo single, wanauliza VIP

Nipo single, wanauliza VIP

Nipo single, heee wanauliza VIP

Nipo single, heee mbona nipo single

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Lava Lava
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
Lava Lava
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved