current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Sinaga Swagga 3 lyrics
Sinaga Swagga 3 lyrics
turnover time:2024-07-04 11:37:58
Sinaga Swagga 3 lyrics

This is another one

Wengi wanakuombea utupu so piga kazi makini

Maana mtegemea cha ndugu heee utakufa maskini

Ndo maisha ya mjini changamoto mimi na wewe

Japo tulianza kuwa moto kabla ya moto wenyewe

Ndoto yangu ya milele sio tu kuimba na kuparty

Maaana mziki ni zaidi ya maisha kuvimba na magari

Bro, hili dili hatari fans kuja show shida

Wanasubiri ufe uweke rekodi ya kujarida

Sa mwelewe wazee mnapunga, pendeza wezeenu na nyumba

Ata sauti ina paa mzee ila huwezi kuwezeka nyumba

Huwezi kung'oa mchumba kama hauna doh mingi

Utaishia kujidunga bro maana stress ni mingi

Na mawazo kishimule, kichwani hauna shule

Dem wako anajiuza half na bei ni kama bure

Ndoto ukiwa nayo shule, hello ndugu na yaya tule

Walo kufa wote ni wajanja ndo maana wamewahi kule

Si since day one tupu zetu

Na wanaume waloshindwa kumpa mimba Wema Sepetu

Bigiri yechu yechu...

Shida, mwisho wa siku tunalia

U superstar mwiba, mzigo wa mwiba tunaubeba tunaumia

Mwanzo niliwaambia, ila kupitia haya mtakiri

Kujiongeza kwenye hakuna, tumizi mbaya la akili

Je hukubali kuuchuna huo upande wa pili

Wasikusemeshe ka mtu hajapiga mswaki wiki mbili

Namkiri ipo wazi hatuhifadhi makua

Kina sisi hatuna target tutoe wapi? Nafuu

Nipeni pasi ninyooshe miguu

Bwana mwane'nu nimejua kuwa dwanzi ndo ako ngazi za juu

Mara hiphop haiuzi asa hiphop ya juzi kina

Young Killer ndo mnaongoza kutoleta michuzi

Mara hiphop ime loosi ati hatuna ufumbuzi

Akina sisi hatuna Swagga sijui mpaka tufanyeje music

Huo ni uwongo na mnajua

Hakuna ashindwalo Mungu akitaka inakuwa

Dunia changamoto na maisha ni hatua

Alopitia tangu mtoto mpaka anakua

Mpaka anajua raha mechi kibao

Akipata kifua chumvi limao

Sa hivi Simba na anambao ndo hashindani

Ila Barcelona Arsenali ndo level za jangwani (Young Africa)

Mbona uwe fahari kwa wenzio michezo ya namna hiyo

Hatuikubali ni ya kidem

Ni sawa na kusema we ni mkali wakati sio

Na redio zinakupea promo hatari unauwa game

Asa kipi bora uwe na furaha na umekwazika

Ama uone kinyaa ati uwanja umetapika

Maana ina fahamika

Mziki nao mziki na mchwano ni mkali kati ya biashara na hailipi

Biashara imeshindwa la lahaula inang'ara

Wa mabingwa wanalindwa kama Paula Wakajala

Alafu wanatuweka roho juu kwa mikwala

Wakati tunajua hawakosi show tu wanakosa hadi pahali pa kulala

Wasanii uchwara, wasanii hawajala

Wasanii wana njaa wameshaweka duara

Wasanii mafukara, Bongo wasanii mikwara

Hao wasanii wametia kila kampuni hasara

Bongo noma regeza mjini Babu unachekwa

Uliza Roma kwani alifanyiwa nini baada ya kutekwa

(Well, well, well) hio ni siri ya kambi

Na kuto waheshimu wakubwa hio ni akili ya bangi

Ila akili ya Mange ni kufunguwa duka

Ila asili ya rangi nyeupe ni kuchafuka

Akili ya msomi ni kujijengea future

Ila akili ya mjinga ni kutaka vyote kwa pupa

Kwa hiyo anakosa vyote

Na siku ndo inavyokuwa show zangu natisha

Ila Izraeli ndo anaye ua

Mungu ndiye anaye jua, upi mwisho wa mimi

So ananipenda ananilinda yuko pamoja na mimi

Alafu mi najituma bwana, nasema mi najituma

Nipate kusimulia nikipata jukuu zangu

Mi ni msukuma bwana, nasema mi ni msukuma

Ndo kitu me najivunia usukuma fahari yangu

Japo nasikia, wanasema natoa ngoma hazibambi

... Cjai diss iwa na Mange

Nakula sana stori lakini sio eti kitambi

Sina shawty ati nitafte kadem ati nikala Nandy (alalalala)

Acheni shetani apite hoja zingine za kike

Mi mmoja kati wanofanya hiphop isikilizike

Kwa hiyo staki tungombane ya nini tuchoshane

Usibebe tango lote baby kaa vipi tukatiane

If you love me, love me and show me your feelings

And if you don't talk, you will die alone

Cz always machungu yanabaki kwa watawaliwa

And we need love revolution man

Hey greatest

It’s time to wake up and watch Young Killer Msodokiii!

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Young Killer Msodoki
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
Young Killer Msodoki
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved