current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Penzi lyrics
Penzi lyrics
turnover time:2024-06-28 01:40:22
Penzi lyrics

Wasafi!

Nawaza kwa nini sikumjuaga zamani

Oh mama

Pendo lake zito mpaka lavunja mizani

Oh mama

Yeye na mimi kachoo nisharuka nyie

Oh mama

Wasiojua mapenzi pole jamani

Vinjali kuwa bachelor, aibu gani

Aliyeumba dunia

Akayaumba na mapenzi

Wala hakukosea

Ila mwezenu mi siwezi

Nilishapenda ila nikatendwa

Moyoni vidonda maskini roho

Mbona nilikonda licha ya kuhonga

Kuweka vibanda nishaomba poo

Mwenzangu bado hujajua, baki unicheke

Kwako yamechanua, ngoja yanyauke

Andazi si kitumbua acha mapepe

Ukipendwa tanua, kwa nini usideke?

Jama nimependa mie, nimependa mie

Nimependa mie nataka nimweke ndani

Mwenzako, nimetendwa mie, nimetendwa mie

Nimetendwa mie, mapenzi sitamani

Ana mapenzi ya bara kayachanganya na pwani

Vipi nitajinasua

Rangi kama chotara shape sio mjapani

Ana shingo si vibuaa

Ameumbika sina budi nisifie

Akipika natamani nilipie

Sehemu ya upanga uliweka kiwembe

Ndo maana mwasi, akaona ajichekee

Kwa wenzako sikia, sikia mwana

Ila kwako utalia, utalia sana

Mi likuwaga fundi, fundi zaidi yako

Power ka mirundi, ikiganda kama sumako

Nakutia pesa madegeree, asiniachee

Nikamchanganya akolee, asiwakeee

Penzi upepo wa bahari, mara kusi shwari

Yakichange hatari, usiombee

Jama nimependa mie, nimependa mie

Nimependa mie nataka nimweke ndani

Mwenzako, nimetendwa mie, nimetendwa mie

Nimetendwa mie, mapenzi sitamani

Nimetendwa, aaah

Mwenzako nimetendwa

Nimetendwa

Nimependa mie

Nimependa mie

Nimependa mie

Nimependa mie

Nimetendwa mie

Nimetendwa mie

Nimetendwa mie

Nimetendwa mie

Wasafi Records!

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Harmonize
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:R&B/Soul
Harmonize
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved