current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Naogopa lyrics
Naogopa lyrics
turnover timeļ¼š2024-10-05 14:36:44
Naogopa lyrics

Mapenzi chenga

Yakikupiga unasurrender

Na wengi wakipendwa

Wanasahau kuna kutendwa

Mapenzi chenga

Yakikupiga unasurrender

Na wengi wakipendwa

Wanasahau kuna kutendwa

Wapi mkandarasi wa moyo

Wa ukuta wa mapenzi unadondoka

Kinacho ponza wengi ni moyo

Wakikalia kuti kavu wanadondoka

Unajisifu umempata

Kumbe alo mwacha anamfata

Anachotaka anakipata

Wanasema hawara hana talaka

Naogopa naogopa, naogopa naogopa

Naogopa, kwenye safari ya mapenzi mi nisiyasikee

Naogopa naogopa, naogopa naogopa

Naogopa, tena tochi ya mapenzi isinimulike

Nimeyaona bayana

Ndo maana sitaki kukumbuka ya jana

Alivyonidanganya

Moyo wangu ukapiga danadana

Nimeyaona bayana

ndo maana sitaki kukumbuka ya jana

alivyonidanganya

moyo wangu ukapiga danadana

Kwani nini za mapendo

Ili yakaniteka mapenzi

Tena nilimweka moyoni

Ila akaniona mshenzi

Unaweza sema pesa ndiyo breki

Ila mapenzi hayasomeki

Umemteka kwa mali na cheki

Kumbe vyombo anakula muuza magazeti

Unayemwita bebi

Anaweza bebwa kama beki

Mapenzi yanabadilika unaweza ukamwita shemeji

Unayemwita bebi

Anaweza akabebwa kama beki

Mapenzi yanabadilika unaweza ukamwita shemeji

Unajisifu umempata

Kumbe alo wacha anamfata

Anachotaka anakipata

Wanasema hawara hana talaka

Naogopa naogopa, naogopa naogopa

Naogopa, kwenye safari ya mapenzi mi nisiyasikee

Naogopa naogopa, naogopa naogopa

Naogopa, tena tochi ya mapenzi isinimulike

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by