current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Nakupenda [Part 1] lyrics
Nakupenda [Part 1] lyrics
turnover timeļ¼š2024-10-06 00:05:26
Nakupenda [Part 1] lyrics

Ilianza kama stori

Ni historia

Ninapendeza kweli kweli

Ni historia

Mashallah amejaliwa

Ana sifa zote za kusifiwa

Nampenda, nampenda

Wacha mimi wakiniona na suti

Naona shelana

Kanisani tukipiga magoti

Nikiapa nawe

Ndipo watasema sijatania

Nakupenda oh mama mia

Uzuri wako we asilimia mia

Hakuna kama we mimi nakulilia

Oooh oh oh oh oh, oh oh oh oh

Hakuna kama wee, dada wee

Oooh oh oh oh oh, oh oh oh oh

Mi kwako nimefika tamati

Kutazama kushoto kulia

Nakuona wewe tu

Kwenye dunia hii, tumeumbwa wawili

Ni mimi na wewe tu

Sasa usije iba hii furaha yangu

Mi ukaondoka nayo

Nitalia lia lia

Nitaumia mama

Nitalia lia lia lia lia lia

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by