current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Nahisi lyrics
Nahisi lyrics
turnover time:2024-07-04 10:38:04
Nahisi lyrics

Nahisi ka tushaonana zamani

Sura si ngeni naikumbuka kwa mbali

Na si kwa ulevi ila nayalaumu macho yangu

Naomba unikumbushe jina lako ni nani?

Ha! Nimesharealize you are beatiful sexy

When I close my eyes, I see your face

For the first time nahisi kwenda mitandao

Before kumeet mlimani City ni we wanao

Then tukaenda klabu ukawa unapita pita

Unanipima kiuno na mbavu nikawa nashika shika

Nikaomba uwe wa ubavu ukawa unasita sita

Unanipa mdomo na shavu nikapiga lita

Alafu ukaondoka mamacita

Nahisi ka tushaonana zamani

Sura si ngeni naikumbuka kwa mbali

Na si kwa ulevi ila nayalaumu macho yangu

Naomba unikumbushe jina lako ni nani?

Huh, kuna siku pale kwenye bucha, nakuita unang'ata kucha

Ukayeyusha basi sijalala usiku kucha

Pandisha pedo pusha, aah-ah nyonga zungusha

Unaonekana kitandani huwezi niangusha

Umenidilute, soda na chai

Sikupi nafasi unitese ka najinyonga kwa tai fupi

Unakaa mtaa upi? Au pale Kailuki

Ulipokuwa na mama cookie

Ile siku ulikuwa na nywele ndefu, unacheza peku

Unazungusha unaringa

Nilikutamani upajue kwetu uonane na bibi yetu

Ila nikakuita ukaringa

Nahisi ka tushaonana zamani

Sura si ngeni naikumbuka kwa mbali

Na si kwa ulevi ila nayalaumu macho yangu

Naomba unikumbushe jina lako ni nani?

Nahisi ka tushaonana zamani

Sura si ngeni naikumbuka kwa mbali

Na si kwa ulevi ila nayalaumu macho yangu

Naomba unikumbushe jina lako ni nani?

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Young Killer Msodoki
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
Young Killer Msodoki
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved