current location : Lyricf.com
/
Songs
/
My Boo Remix lyrics
My Boo Remix lyrics
turnover time:2024-06-23 15:55:23
My Boo Remix lyrics

Aah tunaanza upya sasa

Hahaha, just beginning

Chilli, Konde Boy

Yaani Chilla na Konde Boy

Aaah,

Mola anakupa astahili

Hakupi unachotaka

Ndio maana nimetulia

Nakukabidhi mtima

Naridhi kifungu mbili

Kukosa nakupata

We unanivumilia

Ata nikiwa sina

Mi najua wapo

Walosema hunifai

Eti hatuendani

Wanajichosha na kujipa taabu

Oooh wapo walosema

Umetoka na maasai

Tena hadharani wakapotosha

Umedu na mwarabu

Ila mi ndo nishapenda, nishapenda

Sioni sisikii

Siku zinakwenda, zinakwenda

Sing'oki kisiki

Oooh nishapenda, nishapenda

Sioni sisikii

Siku zinakwenda, zinakwenda

Aki sing'oki kisiki, msijipe taabu

My boo, my boo, my boo

Oooh lala lalala my boo

My boo, my boo, my boo

Oooh lala lala my boo

Hawapendi kuniona na wewe

Eti nimekaa nimechill na wewe

Wanatamani niwe nimekwisha

Ooh lalalala wakuchukue kabisa(Eeeh)

(Hahaha, Love is sweet oh)

Ah! Nyie mafundi wa kuchamba

Mnafanya kazi ya kanisa

Ridhiki haivutwi kwa kamba

Na wa kumi hapatagi tisa

Mwenzenu fundi wa kulamba

Tena anameza kabisa

Sio kama najigamba

Ila mbali ninamfikisha eeh

Ndio maana

Ananiganda ganda kama pochi

Ananiganda(Ndio maana)

Nampanda panda kama kochi

Nampanda

Mi najua wapo

Walosema we hunifai

Eti hatuendani

Wanajichosha na kujipa taabu

Oooh wapo walosema

Umetoka na maasai

Tena hadharani wakapotosha

Umedu na mwarabu

Ila mi ndo nishapenda, nishapenda

Sioni sisikii

Siku zinakwenda, zinakwenda

Sing'oki kisiki

Oooh nishapenda, nishapenda

Sioni sisikii

Siku zinakwenda, zinakwenda

Aki sing'oki kisiki, msijipe taabu

My boo, my boo, my boo

Oooh lala lalala my boo

My boo, my boo, my boo

Oooh lala lala my boo

Hawapendi kuniona na wewe

Eti nimekaa nimechill na wewe

Wanatamani niwe nimekwisha

Ooh lalalala wakuchukue kabisa(Eeeh)

Zuzuzu, zunguka waone

Zuzuzu, zunguka waone

Yii, asa zungusha body

Zuzuzu, zunguka waone

Kwani unadaiwa kodi?

Zuzuzu, zunguka waone

Oooh lele, Konde Boy

Ananiganda ganda kama pochi

Ananiganda(Ndio maana)

Nampanda panda kama kochi

Nampanda

Ooh my God it's Spencer

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Harmonize
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:R&B/Soul
Harmonize
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved