current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Mua lyrics
Mua lyrics
turnover timeļ¼š2024-09-19 14:39:37
Mua lyrics

Nikiwa mbali na uwepo wa macho yako

Mimi mgonjwa siwezi pona

Nitatulia nikikuona aah aaah

Niwapo ubavuni mwako

Nadeka kama mtoto akiwa kwa mama

Nimetulia nikikuona aaah aaah

Tabia umenibadilisha

Pozi zote kwisha

Ujeuri ndio kabisa

Nimechange iih

Nahofia ukija nichoresha

Machozi sipati picha

Safari ukaikatisha

Huku sijiwezi

Najiona hodari (juu ya penzi lako)

Sina habari (juu ya penzi lako)

Nimeonja asali (juu ya penzi lako)

Najiona mbali

Mtamu kama mua, mua, mua, mua

Game lako murua, murua, murua, murua

Mtamu kama mua, mua, mua, mua

Game lako murua, murua, murua, murua

Unavyonikanda na kunitua

We nigangue nikiugua

Unanifanya najishebedua

Ayee...

Puliza marashi wapi mafua

Wanaopenda kudadavua

Sie tunapika na kupakua

Ayee, ayee...

Hatuna kelele

Tunaendana, endana

Mpaka milele eeh

Tutazikana

Najiona hodari (juu ya penzi lako)

Sina habari (juu ya penzi lako)

Nimeonja asali (juu ya penzi lako)

Najiona mbali

Mtamu kama mua, mua, mua, mua

Game lako murua, murua, murua, murua

Mtamu kama mua, mua, mua, mua

Game lako murua, murua, murua, murua

Kama mua, mua, mua, mua

Game lako murua, murua, murua, murua

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by