current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Mimi Ni Wa Juu lyrics
Mimi Ni Wa Juu lyrics
turnover time:2024-06-28 05:53:25
Mimi Ni Wa Juu lyrics

Juu, juu, juu sana

Kuna wakati wa giza

Mbele sioni najiuliza

Mbona kama hizi shida

Zimekawia kuisha

Katikati ya maswali

Nasikia sauti ndani

Imebeba ujasiri

Ikinitaka nikiri

Nikisema

Mimi ni wa juu

Mimi ni wa juu

Mimi ni wa juu

Juu sana

Mimi ni wa juu

Mimi ni wa juu

Mimi ni wa juu

Juu sana

Sitafsiriwi kwa haya

Machozi na magumu

Mimi ni mshindi tu

Kamusi ndiye Mungu

Haijalishi ni giza

Yeye ni nuru yangu

Nitashishinda hii vita

Na yote yatakwisha

Nitasimama tena

Nitainuka tena

Mimi ni wa juu tu

Mimi ni wa juu tu

Nitasimama tena

Nitainuka tena

Mimi ni wa juu tu

Mimi ni wa juu tu

Mimi ni wa juu (ni wa juu sana)

Mimi ni wa juu (juu zaidi ya mawingu)

Mimi ni wa juu (juu sana)

Juu sana (nimeketishwa juu sana)

Mimi ni wa juu (kwenye milele tu)

Mimi ni wa juu (nawaza yaliyo juu)

Mimi ni wa juu (juu saana)

Juu sana

Nawaza yaliyo (juu)

Nawaza yaliyo (juu)

Nawaza yaliyo (juu)

Juu, juu sana

Nawaza yaliyo (juu)

Nawaza yaliyo (juu)

Nawaza yaliyo (juu)

Juu, juu sana

Mimi ni wa juu (ni wa juu sana)

Mimi ni wa juu (haijalishi mazingira haya)

Mimi ni wa juu (haijalishi napitia nini)

Juu sana (yote yatapita)

Mimi ni wa juu (mimi nitashinda tu)

Mimi ni wa juu (kwa juu sana)

Mimi ni wa juu (juu sana)

Juu sana

Sitafsiriwi kwa haya

Machozi na magumu

Mimi ni mshindi tu

Kamusi ndiye Mungu

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Nandy
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:Folk
Nandy
Nandy Featuring Lyrics
Nandy Also Performed Pyrics
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved