current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Maombi lyrics
Maombi lyrics
turnover time:2024-07-07 05:17:52
Maombi lyrics

Nadia....

Hoyah hoyah hoyah

Hoyah hoyah hoyah

Nilichopata nikiomba walisema kitakwisha

Nikitoa shukrani hadharani wakasema najigamba

Hao binadamu walinipa wiki

Sasa imepita miaka bado wanasubiri

Kazi ya Mungu haina makosa

Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa

Sio juju ni maombi, ni maombi

Si kelele ni maombi, ni maombi

Sio juju ni maombi, ni maombi

Si kelele ni maombi, ni maombi

Hoya hoya hoyaaah

Hoya hoya hoyaaah

Hoya hoya hoyaaah

Na mikono nitainua, magoti nipige

Nimweleze jinsi alivyotenda katika Maisha yangu

Kazi ya Mungu haina makosa

Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa

Sio juju ni maombi, ni maombi

Si kelele ni maombi, ni maombi

Sio juju ni maombi, ni maombi

Si kelele ni maombi, ni maombi

Hoya hoya hoyaaah

Hoya hoya hoyaaah

Hoya hoya hoyaaah

Maneno ya wanadamu, yalinilenga kama mishaleee

Ila Mungu hawezi kubali uangukee

Alichoanzisha leo, lazima atakamilisha weeeh

Kazi ya Mungu haina makosa

Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa

Sio juju ni maombi, ni maombi

Si kelele ni maombi, ni maombi

Sio juju ni maombi, ni maombi

Si kelele ni maombi, ni maombi

Si uchawii weeeh

Si uleviii eeeh

Si kwa nguvu zangu mieee

Si KaNadia katambeeeee

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Nadia Mukami
  • country:Kenya
  • Languages:Swahili, English
Nadia Mukami
Nadia Mukami Featuring Lyrics
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved