current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Kamata lyrics
Kamata lyrics
turnover time:2025-04-17 23:25:08
Kamata lyrics

Kamata kamata kamatika kamata

Kamata kamata mpaka chini kamata

Kamata kamata kamatika kamata

Kamata kamata mpaka chini kamata

Kamata kiuno kamata bega

Kamamta kichwa ka ndoo unabeba

Kamata kimini chalegalega

Ooh maana cha shuka chini unanitega

Aah mah ya leo kiboko

Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo

Ana komesha toto

Nami naleta nyundo nimtwange kokoto

Nasema kamata kamata kamatika kamata

Kamata kamata mpaka chini kamata

Kamata kamata kamatika kamata

Kamata kamata mpaka chini kamata

Eeh kama gari ile vuum vuum (Vuum Vuum)

Mtoto mkali mchum chum (Chum chum)

Ikiwa ngangari ile ngumu ngumu (Ngumu ngumu)

Nenda kamchinjie mbali kwa room room

Sa twende kamata kama unaisakata

Nyuma kwa bambata ile kinoma

Tegeta tabata fanya unaifatata

Za mbuzi kakataa amegoma (Aiiih)

Katikati chini chini (Kamata)

Kasi kasi speed 12o (Kamata)

Eeh kama unamenya ndizi (Kamata)

Police anashika mwizi (Kamata)

Aah mah ya leo kiboko

Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo

Ana komesha toto

Nami naleta nyundo nimtwange kokoto

Nasema kamata kamata kamatika kamata

Kamata kamata mpaka chini kamata

Kamata kamata kamatika kamata

Kamata kamata mpaka chini kamata

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Diamond Platnumz
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English, English (Nigerian Pidgin), Lingala
  • Genre:Folk
Diamond Platnumz
Latest update
Copyright 2023-2025 - www.lyricf.com All Rights Reserved