current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Jeshi lyrics
Jeshi lyrics
turnover time:2024-06-23 16:01:45
Jeshi lyrics

Yao Yao

Oh nah nah nah

Mmmh

Sometimes what you dream can't be receiving

Na huwezi kuvuna usichokipanda

Thanks God for giving

Ghetto sikuwa na umeme wala cable

Jeans moja T-Shirt na yebo

Ati leo namiliki lebo

Lebo, Konde Gang lebo

Siku zote kisicho kuua

Kitakufanya uwe ngangari

Ata mwanga huwezi kumjua

So ishi nao kwa tahadhari

My sister siku hizi shape ananunua

We pambana upate salary

Ila usisahau pesa maua

So ukikosa hata usijali

One love kwa wanangu wa kitaa

Nyie ndo mnanunua CD

Two love kwa wanafiki wa Insta

Mnafanya niongeze bidii

Three love kwa Master na Lita

Mlinifanya hasira zizidii

Four love, njia ngumu nilizopita

Mkanipa na jina mkasema niitwe

Jeshi! Konde boy Jeshi!

Na hizi wananiita Tembo

Jeshi! hata we ni Jeshi!

Yaani kama huna pigo za kirembo

Ni Jeshi! Konde boy Jeshi!

Yaani wanangu wananiita Tembo

Jeshi! hata we ni Jeshi!

Yaani kama huna pigo za kirembo ni jeshi

One love kwa wanangu wa kitaa

Nyie ndo mnanunua CD

Two love kwa wanafiki wa Insta

Mnafanya niongeze bidii

Ninaamini Mungu yupo

Tena Naongea nae japo sisikii sauti yake

Nikianguka ntainuka tena

So usishangae why Tembo anahustle peke yake

Coz I know, unapokiokota

Ndo wakati wakutunza Ili kesho kisije potea

Na unaposota ndo wakati wa kujifunza

Ili ujue wapi ulipokosea

Sio kama siwezi kujibizana

Ila mwenzenu nimeumbwa na subra

Eey, cheki madili yanavyogogana

Coz nina nyota ya Libra

Mbona siwaoni walotumwa kunitukana

Vichwa vyao viko kibra

Tena siku hizi siimbi sana

Acha washindane na Ibrah

I say One love kwa wanangu wa kitaa

Nyie ndo mnanunua CD

Two love kwa wanafiki wa Insta

Mnafanya niongeze bidii

Three love kwa Master na Lita

Mlinifanya hasira zizidii

Four love, njia ngumu nilizopita

Mkanipa na jina mkasema niitwe

Jeshi! Konde boy Jeshi!

Na hizi wananiita Tembo

Jeshi! hata we ni Jeshi!

Yaani kama huna pigo za kirembo

Ni Jeshi! Konde boy Jeshi!

Yaani wanangu wananiita Tembo

Jeshi! hata we ni Jeshi!

Yaani kama huna pigo za kirembo ni jeshi

One love kwa wanangu wa kitaa

Nyie ndo mnanunua CD

Two love kwa wanafiki wa Insta

Mnafanya niongeze bidii

Konde Boy!

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Harmonize
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:R&B/Soul
Harmonize
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved