current location : Lyricf.com
/
Songs
/
I Miss You lyrics
I Miss You lyrics
turnover timeļ¼š2024-09-28 10:58:10
I Miss You lyrics

Hello hapo vipi sijui unanisikia

Hello nna maneno natamani kukwambia

Hello tafadhari usije nikatia

Hello ona mpaka nasaau kusalimia

Habari gani leo, nimekukumbuka sana

Na mama yangu twakuwazagaa

Vipi nyumbani hali ya mumeo na wana

Na aunty Shani wa Chimwagaa ah ah?

Kile kidonda changu cha roho bado kinanitia tabu

Nnajitaidi kukaza roho ila nadhidisha adhabu

Tena silali oh nasubiri maajabu

maumivu yangu yaje apate dawa

I miss you nakukumbuka iye iyeh

I miss you nakukumbuka iye iyeh

I miss you nakukumbuka iye iyeh

I miss you nakukumbuka iye iyeh

Na roho yangu mama (bingili bingili)

Ah nikikuwaza (bingili bingili)

Nikisinzia (bingili bingili bayoyo)

Oh nikilala (bingili bingili)

Ih inama inuka uwoh (bingili bingili)

Uku sina raha (bingili bingili bayoyo)

Ah iyeeeh ah iyeeeh

Tatizo kwetu sijui nini kosa langu

Mpaka nikawa adui ghafla ukanichukiaga

Nawaza ila siambui ama shida zangu

Simba nikawa chui mi roho inaniumaga

Yawezekana ahadi zangu zisizotimia

Ndio maana haukutaka kusubiria

Nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia

Chai mchana usiku dona kurumaghia

Nilitamani sana ila wangu vyangu palinishia

Ningalikua na uwezo ningekutimizia

Mingali unafuraha haya maumivu ntayavumilia

Ila japo nambie ivi unanifikiria maana eh eeh

Nakumkumbuka iyeeh iyeh

Nakumkumbuka sana ooh!

I miss you nakukumbuka iye iyeh

I miss you nakukumbuka iye iyeh

I miss you nakukumbuka iye iyeh

I miss you nakukumbuka iye iyeh

Ah na roho yangu mama (bingili bingili)

Ah nikikuwaza (bingili bingili)

Nikisinzia (bingili bingili bayoyo)

Oh nikilala (bingili bingili)

Ih inama inuka uwoh (bingili bingili)

Uku sina raha (bingili bingili bayoyo)

Ata nikila (bingili bingili)

Nikikuwaza (bingili bingili)

Nikilala heeh (bingili bingili bayoyo)

Ooh ona roho yangu mama (bingili bingili)

Ah nikikuwaza (bingili bingili)

Nikisinzia (bingili bingili bayoyo)

Heeeh! Roho yangu mama bingili bingili

Heh heh heeh! Bingili bingili

Heh heh heeh! Bingili bingili bayoyo

Oooh roho yangu mama bingili bingili

Ih inama inuka uwoh bingili bingili

Ajabu sina raha bingili bingili bayoyo

Ah ata nikila!

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by