current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Hujanikomoa lyrics
Hujanikomoa lyrics
turnover time:2024-07-01 00:39:45
Hujanikomoa lyrics

Nafsi inasema subiri

Moyo unakataa nenda

Nimeziona dalili

Ipo siku nitadema

Maana kila yakidhiri

Yana jirudia tena

Mi mwenzio na dalili

Mimi siwezi kupona

Labda alinionaga mimi tahira

Sina mbele na sinaga dira

Akashindwa rudisha majira

Kasahau na zile fadhila

Labda si wewe

Tulokula wote, mpaka tukasazaga

Labda si wewe

Tulokuwa tukipendana na kuchezaga

Roza dunia mapito wowo

Nakueleza haya yatapita woo

Roza dunia mapito wowo

Nakuleza haya yatapita woo

Haya, mwenzako mimi hujanikomoa

Haya, ni kama akili umeifungua

Haya, mwenzako mimi hujanikomoa

Haya, ndo kwanza akili umeifungua mama

Kama penzi lingekuwa nguo

Ningelivua nikalitupa mbali mawe

Maana nimekosa hadi chaguo

Nimefanya mema ninapigwa mawe

Maajabu ya Musa

Fimbo kawa nyoka eti ananitisha

Na alisha nisusa

Nami nashukuru bora amenishusha

Ilipofika inabidi

Nizoee baridi wowoo

Leo nalitua penzi

Roza dunia mapito wowo

Nakueleza haya yatapita woo

Roza dunia mapito wowo

Nakueleza haya yatapita woo

Haya, mwenzako mimi hujanikomoa

Haya, ni kama akili umeifungua

Haya, mwenzako mimi hujanikomoa

Haya, ndo kwanza akili umeifungua mama

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Kusah
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
Kusah
Kusah Featuring Lyrics
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved