current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Hawajui lyrics
Hawajui lyrics
turnover timeļ¼š2024-09-29 14:57:27
Hawajui lyrics

Nahreel wussup wussup wussup wussup

Hamjui tu nyie

Alichonifunza mama

Na na ndiyo maana

Hamuishi kutukana

Kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga

Nini tilalila usiku mchana unabwabwaja

Kwako mi mpira unanicheza unavyotaka

Kila siku beki leo kipa nimekudaka

We mwanadamu gani uliyekosa aibu

Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu

Huishi, zogoa zogoa

Kila siku zogoa zogoa

Ukilala zogoa zogoa

Hamjui tu nyie

Alichonifunza mama

Na na ndiyo maana

Hamuishi kutukana

Choko choko ndiyo mambo mliozoea

Kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah

Eti naringa, nikishinda mnavimba

Hamuishi kuniwinda

Mungu ndiyo ananilinda

We mwanadamu gani uliyekosa aibu

Kunisema kwa ubaya

Na ukiapa kwa Mungu

Huishi, zogoa zogoa

Kila siku zogoa zogoa

Ukilala zogoa zogoa

Hamjui tu nyie

Alichonifunza Mama

Na na ndiyo maana

Hamuishi kutukana

We mwanadamu gani uliyekosa aibu

Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu

Huishi, zogoa zogoa

Kila siku zogoa zogoa

Ukilala zogoa zogoa

Hamjui tu nyie

Alichonifunza Mama

Na na ndiyo maana

Hamuishi kutukana

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by