current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Hata Sielewi lyrics
Hata Sielewi lyrics
turnover time:2024-09-19 14:41:44
Hata Sielewi lyrics

Faaalsafaa

Falsafa Hommie

Samaa

Are you listening?

Bonge la mtoto, bonge la zigo

Naamini sioti coz naipenda hii ndoto

Sitoi boko na naamini hayuko soko

Ntamvisha pete leo leo

Sio wa mchezo ka kazi ya kwenye video

Ananikaanga roho, ananisaga moyo

Sipo sawa akili imevurugwa nayo

Nilikuwa poa tu kabla hatujakutana

Gangster kama mimi hakuna

Hana wasiwasi anatembea kama hataki,

anajivuuta na kila hatua ina nukta

Kiuno cha nyigu, rangi ya kinugu

Nashangaa maujuzi ya Mungu

Hakuna kovu hakuna sugu

Maswali bila ya majibu

So unafanya nionekane chizi

(Hata sielewi nini la kufanya)

Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi

(Hata sielewi naona nyota mamaa)

Where you coming from?

Hata sielewi, sielewi

Where you coming from?

Hata sielewi, sielewi

Sielewi sielewi eeh, eeh

Sielewi sielewi eeh, eeeh

Sielewi lugha nyingine

Macho yamegoma hayaoni kiumbe mwingine

Huyu ntakopa ntaazima

Ila lazima ninyooshe mji mzima

Acha moyo unibebe unipeleke unapotaka

Ntarudi siku ukitaka

I'm all in, I'm fallin’

Maskio yataniziba akiniita darling

Moyo unanienda mbio, naisoma namba

Mwili mlaini utasema aliumbwa kwa pamba

Hana chale hana shanga

Mimacho imentoka ile kishamba

Sina hakika ni chiicha au ganja za zamani

Ila ana siifa za kuitwa mwandani

Tuchangie shuka, tuchangie majina

Nimshike mkono niende nae dunia nzima

So unafanya nionekane chizi

(Hata sielewi nini la kufanya)

Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi

(Hata sielewi naona nyota mamaa)

Where you coming from?

Hata sielewi, sielewi

Where you coming from?

Hata sielewi, sielewi

Sielewi sielewi eeh, eeh

Sielewi sielewi eeh, eeeh

Maua

Umetokea wapi kwani?

Na umetumwa na nani?

Umekuja na uganga wa wapi?

Nilikuwa sawa kabla sijakutia machoni

Sielewi sielewi eeh, eeh

Sielewi sielewi eeiiih, eeeh

So unafanya nionekane chizi

(Hata sielewi nini la kufanya)

Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi

(Hata sielewi naona nyota mamaa)

Where you coming from?

Hata sielewi, sielewi

Where you coming from?

Hata sielewi, sielewi

Hata sielewi naona nyota mamaa

Hata sielewi naona nyota mamaa

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by