current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Gere
Gere
turnover time:2024-06-23 14:32:01
Gere

Zigila parapampapa

Donna na Chibude

(Ayolizer!)

Oooh yeah, hahaha

It's Platnumz

Eeh ati unapenda kooni

Nikikupa mpaka morning

Nikipekenya pekenya

Nisiwahi ichelewe

Nikikuchum mdomoni

Touch touch kiunoni

Niwe natekenya tekenya

Nakufanya ulewe

Boo you're my sweet chocolate monsta (aah)

So real I contamplate on that

And baby better ride for me

And show me that you're mine mine, oh oh

I'ma go downtime for ya

Call you king, put a crown on ya

And baby take your time with me

Let's flow like river Nile

Hapa, asa show me ile kitu amekupa mama

Hebu chutama, kama inazama

Nikupige chenga kwa danadana

Tuwafunge kelele (ay ay ay)

Jioni usiku mchana, jua likizama

Tuanza kandana

Nikuonyeshe kile amenipa mama

Tuwafunge kelele

Maana wanaona...

Wanaona gere

Wanaona gere (wanaona)

Wanaona gere

Wanaona ge, ge, ge, ge

Wanaona gere

Wanaona gere (wanaona)

Wanaona gere

Wanaona ge, ge, ge, ge

Don't you ever leave me solo

Or dissapoint me with these basic hoes

You make my mind go lokoloko

Utawapa misemo wa nokonoko

And you better tell them that you are mine

Better be my ride or die

Kabla ya kuwika jogoo

Asubuhi niamshe na kimoko

Eeeh! Mama kasema mwali mwana

Nipepata nitulie Simba

Oooh nitulie Simba

Oooh nitulie Simba

Zile chenga vidanga dana

Vicheche nichunie Simba

Oooh nichunie Simba

Oooh nichunie Simba

Asa beiby ebu show me ile kitu amekupa mama

Hebu chutama kama inazama

Nikupige chenga kwa danadana

Tuwafunge kelele (ay ay ay)

Jioni usiku mchana, jua likizama

Tuanza kandana

Nikuonyeshe kile amenipa mama

Tuwafunge kelele

Maana wanaona...

Wanaona gere

Wanaona gere (wanaona)

Wanaona gere

Wanaona ge, ge, ge, ge

Wanaona gere (whenever we're together)

Wanaona gere (wanaona)

Wanaona gere

Wanaona ge, ge, ge, ge

Asa beiby nikomeshe

Kati katika (kata)

Kati, kati, katika (kata)

Donna katika (kata)

Oooh beiby katika (kata)

When you hold on to me (kata)

Go down follow my knees (kata)

Moving side to side beiby (kata)

Oooh kati (kata)

(Wasafi!)

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Tanasha Donna
  • country:Kenya
  • Languages:English, Swahili, French, Spanish
Tanasha Donna
Tanasha Donna Featuring Lyrics
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved