current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Corona lyrics
Corona lyrics
turnover time:2024-07-02 07:56:17
Corona lyrics

Corona, corona, corona

Corona, corona, corona

Wote tumuombe Mungu kwa hili janga

Ikibidi lipite

Tujihadhari na tujikinge

Ili lisitufike

Habari kote duniani zimesambaa

Ugonjwa unaua na hauna tiba

Na wengine wetu masikini hatujiwezi

Mwenyezi Mungu kawe tiba

Watoto wetu mashule, aah

Mama zetu tu sokoni

Kwenye vyombo vya usafiri makazini

Tujilinde

Osha mikono (aaah)

Epuka mikusanyiko sio ya lazima (aaah)

Na uonapo dalili

Mapema wahi hospitali

Corona, corona, corona

Corona, corona, corona

Corona, corona, corona

Corona, corona, corona

[Magufuli]

'Hatua zimeshaanza kuchukuliwa

Ameshatoa tahadhari mbalimbali

Ambazo tunatakiwa kuzichukua

Napenda nirudie ndugu zangu Watanzania

Kwamba ni vizuri sana tukaendelea kuchukua tahadhari, kwa nguvu zote

Ugonjwa huu unaua, na unaua kwa haraka sana

Niwaombe ndugu zangu Watanzania

Tusipuuze ungonjwa huu

Tusipuuze hata kidogo

Ni lazima tuanze kuchukua hatua

Za kujikinga kwa tatizo hili

Corona, corona, corona

Corona, corona, corona

Corona, corona, corona

Corona, corona, corona

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Rayvanny
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English, English (Nigerian Pidgin), Other, Portuguese
  • Wiki:https://en.wikipedia.org/wiki/Rayvanny
Rayvanny
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved