current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Bwana umeinuliwa Katika kiti chako cha enzi lyrics
Bwana umeinuliwa Katika kiti chako cha enzi lyrics
turnover time:2024-07-03 07:52:49
Bwana umeinuliwa Katika kiti chako cha enzi lyrics

Bwana Umeinuliwa katika kiti chako cha enzi

Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi

Maserafi, wako mbele zako Mungu uu

wazikabithi heshima zako mbele zako,

Wanalia mtakatifu, ni wewe Mungu

Mtakatifu mtakatifu, ni wewe Mungu

Bwana Umeinuliwa katika kiti chako cha enzi

Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi

Makerubi pia wako mbele zako ooh,

hata nao wazikabithi heshima zao

Wanazivua taji zao za dhahabu uuh,

wakiinama, mtakatifu ni wewe Mungu.

Bwana Umeinuliwa katika kiti chako cha enzi

Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi

Wazee wale ishirini na wanne, eeh,

hata nao wazikabidhi heshima zao,

Wanainama, mtakatifu ni wewe Mungu uu,

mtakatifu, mtakatifu ni wewe Mungu.

Bwana Umeinuliwa aa, katika kiti chako cha enzi

Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi

Viumbe wale walio hai ii,

hata nao wazikabithi heshima zao.

Wapeperusha, mabawa yao mbele zako, ooh,

wajifunika, mtakatifu ni wewe Mungu

Bwana Umeinuliwa aa, katika kiti chako cha enzi

Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi

Nafsi yangu naiinua mbele zako ooh,

Naungamana na hilo jeshi la mbinguni,

mataifa yote nayo yajue, eeh,

ya kwamba wewe, wewe mungu ni mtakatifu

Bwana Umeinuliwa aaah, katika kiti chako cha enzi

Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Swahili Worship Songs
  • Languages:Swahili, Chewa
Swahili Worship Songs
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved