current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Bugana
Bugana
turnover time:2024-06-24 08:00:00
Bugana

Aha, chupa ilionekana chai au sio

Chupa ilionekana chai

(It's S2kizzy beiby)

Billnas, Billnas

[Nandy]

Unanipa taabu ya kufanya nielewe

Baada ya baba mzazi, si unafuata wewe

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

[Billnas]

Unanipa taabu ya kufanya nielewe

Baada ya mama mzazi, si unafuata wewe

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

[Nandy]

Unyonge tai

Alafu mfukoni mambo mbaya

Hawatudai yeah yeah yeah

Hata wavujishe picha mbaya

Wakuite babu

Nami waniite bibi watujukuu

Ooh yeah, washike adabu

Washindwe na walegee eeh

Unanisitiri yaani hutaki niumbuke (aaaah)

Wawili tu chumbani ardhi ipasuke (aaaah)

Ukiweza nichune kaka

Pahali ambapo mi nina bugana

Ukiweza nichune kaka

Pahali ambapo mi nina bugana

Unanipa taabu ya kufanya nielewe

Baada ya baba mzazi, si unafuata wewe

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

[Billnas]

Unanipa taabu ya kufanya nielewe

Baada ya mama mzazi, si unafuata wewe

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

Tupo low key na tuna kiss kwenye dinga

Vile tuna ball sema 'ooh tunavimba'

Kuku approach ilikuwa hard ka nawinda

Hadi nikawa naimba zile ahadi ukawa unavimba

Leo bugana limerudi kwao

Tuko na shida zetu wala sio za kwao

Husband material ikikubao

Imeshafika posa bado tu vikao

Na hata iweje, hata iweje

Mimi ni wako tu

Na hata iweje, hata iweje

Nitabaki kwako tu

Kama ni Gucci, Dolce & Gabana (aaah)

Hata mi, naweza kupambana (aaah)

Kama ni pesa wanasaka ile sana (aaah)

Sana mama, sana sana

[Nandy]

Unanipa taabu ya kufanya nielewe

Baada ya baba mzazi, si unafuata wewe

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

[Billnas]

Unanipa taabu ya kufanya nielewe

Baada ya mama mzazi, si unafuata wewe

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

Naiwe yangu, naiwe yangu, naiwe bugana

(Laizer on the Mix)

Nahisi naibiwa na nguvu naishiwa

Nahisi naibiwa na nguvu naishiwa

Nahisi naibiwa na nguvu naishiwa

Nahisi naibiwa na nguvu naishiwa

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Billnas
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
Billnas
Billnas Lyrics
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved