current location : Lyricf.com
/
/
Dakika Moja lyrics
Dakika Moja lyrics
turnover time:2024-07-02 04:12:23
Dakika Moja lyrics

Oooh oooh

Hey yeii yeah

Sukari imegeuka chumvi

Aka amegeuka chui

Matope yamekuwanga vumbi

Maziwa yamegeuka tui

Upendo na baba ni kwa zamani

Siku hizi kufa kufaana

Upendo hauna dhamani, hey

Upendo na mama mama mama ni kwa zamani

Siku hizi kufa kufaana

Upendo hauna dhamani

Dunia ina raha yake iyee

Na mabaya yamo humo

Na visanga vyake iyee

Na mabaya yamo humo

Ukifika nenda mwambie

Dakika moja tu

Mimi nataka niongee naye

Dakika moja tu

Akichelewa nitasubiri

Nitangoja tu

Ila nataka niongee naye

Dakika moja tu

Naona kama me nachomwa na jua

Usiku mkali, na maradhi naugua

Unanichanganya, navyo sema nazingua

Kisasi na salary, me nawaza nawazua

Aaah, si ulikubali, kwa kila hali baba

Leo mwisho wa safari, unarudi nyuma baba

Si ulikubali, kwa kila hali baba

Leo mwisho wa safari, unarudi nyuma baba

Hee, dunia ina raha yake iyee

Na mabaya yamo humo

Na visanga vyake

Na mabaya yamo humo

Ukifika nenda mwambie

Dakika moja tu

Mimi nataka niongee naye

Dakika moja tu

Akichelewa nitasubiri

Nitangoja tu

Ila nataka niongee naye

Dakika moja tu

Mwambie azibe nyufa

Akichelewa nitakufa...

Hey

Sawa sawa, sawa sawa

Sawa sawa, sawa sawa

Sawa sawa, sawa sawa

Sawa sawa, sawa sawa

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Ruby (Tanzania)
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:Folk
Ruby (Tanzania)
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved