current location : Lyricf.com
/
/
Alele lyrics
Alele lyrics
turnover time:2024-07-02 04:19:37
Alele lyrics

Its Bob Manecky...

Heeh yeaah...

Nikisema nitakufa kisa mapenzi

Moyoni nitamkosea

Wanayadhani nina ufa hakuna mwenzangu

Nyumba inamdondokea

Mi najua

Sina dhamani kwako utanikumbuka

Nishatenda wema

Mi nakwenda zangu utanikumbuka

Poleza na moyo we, mwaya we

Najua amekuumiza

Ila yupo mungu, baba eh

Najua atalipiza

Pole sana moyo, mwaya

Najua amekuumiza

Ila yupo mungu, baba

Najua atalipiza

Alele, nishalia

Alele, nikaumia

Alele, sina dhamani kwako

Alele, mtima ulilia

Alele, maana wengine wapo

Alele, nishalia

Alele, nikaumia

Alele, sina dhamani kwako

Alele, mtima ulilia

Alele, maana wengine wapo

Kwa mitaa jamaa anaandamana

Kweli mapenzi yanaliliwaa

Niliachaga drama na ujana

Eey yeaaah

Yalianzaga enzi

Ikanenaga na nafsi acha nivumilie

Jamani mapenzi

Yamekuwa hadithi acha nisimulie

Poleza na moyo we, mwaya we

Najua amekuumiza

Ila yupo mungu, baba eh

Najua atalipiza

Pole sana moyo, mwaya

Najua amekuumiza

Ila yupo mungu, baba

Najua atalipiza

Alele, nishalia

Alele, nikaumia

Alele, sina dhamani kwako

Alele, mtima ulilia

Alele, maana wengine wapo

Alele, nishalia

Alele, nikaumia

Alele, sina dhamani kwako

Alele, mtima ulilia

Alele, maana wengine wapo

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Ruby (Tanzania)
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:Folk
Ruby (Tanzania)
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved