current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Wandoto lyrics
Wandoto lyrics
turnover time:2024-06-23 14:32:55
Wandoto lyrics

Nahisi kama naota

Na kumbe reality tayari

Aliyefanya nateseka

Ni wewe

Na nafsi inachochota

Najipa imani sijafeli

Nahitaji faraja

Hata chembe nipewe maa

Macho pembeni nisikupe pesa

Kwako yaani nishafika

Kumbe makucha uliyaficha

Na ushanikwarua ooh

Na zangu hisia umeziteka

Nilipokosea sawazisha

Usije hadharani kuanika

Ukaniumbua oh nah nah nah

Na nakuombea Mungu

Akuepushe na mabaya

Hali dhiki mafungu

Ila la kwangu ndo limepwaya

Nalia nalia kwa uchungu

Umenitoroka nyuma ya idhaya

Ni wewe japo nilikudhamini

Na nikakuitaga

Wandoto wandoto

Wandoto, wandoto

Ah ni wewe wa ndoto

Leo penzi umeliweka vikwanzo

Wandoto wandoto

Wandoto, wandoto

Wandoto uliyekuwa ni wewe

Na kichwa umekiachia mawazo

(Oooh ooh, aah yeiye)

Kweli usiku wa giza usilolijua

Sikuwaza, sikudhania kuwa utanibagua

Sa unafikiri nani wa kupika pakua

Ni wewe

Kishida kijiba cha roho mwenzako naugua

Haya no commando siwezi jipindua

Nawe ndo dereva umezamisha mashua

Ni wewe ni we eh

Ila mwenzako bado bado

Moyo unasonona

Manati bila kipago

Nikuulize wapi uliona

Mi nina uzoefu wa kufunga goal

Uvivu wa kufua foronya

Yaani siamini yes umegeuza no

Na kwako mi mtoto nahitaji nyonya

Wandoto wandoto (Ni wewe)

Wandoto, wandoto

Ah ni wewe wa ndoto

Leo penzi umeliweka vikwanzo

Wandoto wandoto

Wandoto, wandoto

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Ibraah
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
Ibraah
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved