current location : Lyricf.com
/
Songs
/
My Queen lyrics
My Queen lyrics
turnover time:2024-06-23 14:42:57
My Queen lyrics

You are my queen

Nimekupa moyo wangu uutunze

Safari

Ukiniacha sina raha hata punje

Maana, midunia inachanganya changanya

Hususan mapenzi mama

Mambo ya kushare hayana maana

Mama mama

Mara ushikwe kule, uteseke

Mara ushikwe pale, unyanyaswe

Unavyochezaga mama ma

Raha napataga kwa sana na

Unavyokataga mama

Utamu nasikiaga kwa sana

Unavyochezaga mama

Kigoma, Mtwara ulindi

Mtwara tukamwone bibi

Tukale futari ama gimbi

Ushanidindindi kwako zaidi ya pimbi

You please don't go hey

Unanipa raha anytime

You please don't go hey

Unanipa raha you are mine

Sio wachalizo wa Tabata

Unanipa ile kitu nataka

Mtoto hizo lips matata

Ushanikamata wazushi watafyata

Unavyochezaga mama ma

Raha napataga kwa sana na

Unavyokataga mama

Utamu nasikiaga kwa sana

Unavyochezaga mama

Nimekubali we ni noma

Na mapaka shume wataisoma

Watafurahi wakikuona baba na mama

Nimekubali we ni noma

Na mapaka shume wataisoma

Maana kilometa akikuona

Atafanya bonge la sherehe

Unavyochezaga mama ma

Raha napataga kwa sana na

Unavyokataga mama

Utamu nasikiaga kwa sana

Unavyochezaga mama

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Ibraah
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
Ibraah
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved