current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Tawire lyrics
Tawire lyrics
turnover time:2024-06-22 23:15:14
Tawire lyrics

Aaah Ssshhh!

Ratata Tatata!

Aaah! Aaah! Aaah! Haaa!

Tawire! (Surprise)

Tawire! Tawire!

Tawire, Tawire

Tawire, Tawire

Tawire, Tawire

Mganga tawire

Wanakuvuta (eh), kila unapotafuta

Ukizikuta (eh), wanazingira ukuta

Ata uwe na guta (eh), akili zinawaruka

Wanaroga duka (eh), mpaka banda la sambusa

Wanapiga manyanga (eh)

Usijenge ubaki kupanga

Wanachanganya waganga (eh)

Wa Pemba, Tanga, Sumba, Wanga

Makili kili na ma fili fili

Tunayakemea yapotee, Amina!

Madili dili mwana mbili mbili

Na mitonyo yote ilegee, Amina!

Wamekalia migoda

Wanataka kukuroga

Wachawi dumba watangoja

Weka Mungu kwako uwe namba moja

Tawire, Tawire

Tawire, Tawire

Tawire, Tawire

Mganga tawire

Wanakatisha tamaa, watakupa ukichaa

Wanafelisha ukiwakalisha ndo wanazidi kushagaa

Kila kona kila baa

Kila toto ya mtaa

Ukifanikiwa walokubania

Wanabaki wakishangaa

Unaomba afukuzwe kazi

We ukapandishwe ngazi

Kisa mapenzi unataka mwenzio

Aachwe unavunja nazi

(Kisa mapenzi unataka mwenzio

Aachwe unavunja nazi)

Wamekalia vigoda

Wanataka kukuroga

Wachawi dumba watangoja

Weka Mungu kwako awe namba moja

Tawire, Tawire

Tawire, Tawire

Tawire, Tawire

Mganga tawire

(Hallo simu ilikata)

Hallo babu, basi ndo hivyo

Maana miaka kumi sasa

Anakwenda anarudi

Mimi nachotaka ni kitu kimoja tu

Ikiwezekana familia yake yote inipende

Nipate nyumba na ndoa pia

Niwache kwa kuzalilika Insta

Tawire, Tawire

Tawire, Tawire

Tawire, Tawire

Mganga tawire

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Queen Darleen
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:Pop-Folk
Queen Darleen
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved