current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Muhogo lyrics
Muhogo lyrics
turnover time:2024-06-22 23:18:30
Muhogo lyrics

S2kizy, baby

Asubuhi na muhogo

Mchana kutwa na muhogo

Usiku pia na muhogo

Ki kweli ninapenda penda

Muhogo, muhogo

Muhogo, muhogo

Muhogo, muhogo

Muhogo, muhogo

Mizuri kwa kutafuna, ukipata mibichi mibichi

Aswa iliyotuna sio vinjiti vinjiti

Nakula kwa kujikuna utamu fitcaly kit

Hogo la Mwanza la kisukuma kwa bed kwenye kiti

Ya koko ama upate mwogo wa jangombe

Kimoko kisha nashushaga na monde

Ninatumia, nawatumia yan sana sana

Nywele India na Peluvian yan kama kama (Aristote)

Vitu kww wingi (wingi wingi)

Laini huku umezaa

Upate mbilimbi (limbi, limbi)

Na chumvi chombeza

Nasikia uwoya na madamu wema wamegombana kisa (muhogo)

Hoya hoya masimango na vijembe insta (muhogo)

Asubuhi na muhogo

Mchana kutwa na muhogo

Usiku pia na muhogo

Ki kweli ninapenda penda

Muhogo, muhogo

Muhogo, muhogo

Muhogo, muhogo

Muhogo, muhogo

Sitaki unibanie, wala kunikataza kataza

Napenda nishikilie chachandu kupakaza pakaza

Nikila lazima nilie, sipendi kunyamaza nyamaza

Muhogo kiboko ya mie, kizungu ni kasava kasava

Gari gari, nyumba kali, mbele party sababu ya (muhogo)

Waliyowadogo et nao wanajiita wanadanga

Wanakula mihogo hawamiliki hata vitanda

Futa kwa wingi (wingi wingi)

Laini huku umezaa

Upate mbilimbi (limbi, limbi)

Na chumvi chombeza

Nasikiaga Zari mdam hero waligombana kisa (muhogo)

Hoyahoya masimango na vijembe insta (hogo)

Asubuhi na muhogo

Mchana kutwa na muhogo

Usiku pia na muhogo

Ki kweli ninapenda penda

Muhogo, muhogo

Muhogo, muhogo

Muhogo, muhogo

Muhogo, muhogo

S2kizy...

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Queen Darleen
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:Pop-Folk
Queen Darleen
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved