current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Bachela lyrics
Bachela lyrics
turnover time:2024-06-22 23:45:29
Bachela lyrics

[Queen Darleen]

Eti Lava utaoa lini, mbona unazingua?

Wazuri wengi mjini wezi wanachukua

We kutwa ubishoo, nywele kuchange mitindo

Wanakuona wafoo, kila siku uko single

[Lava Lava]

Moyo wa kupenda sina ya nini nijipe homa

Si huyu ni mwana Stamina rafiki yake Roma

Si unajua ndoa majaliwa

Nasubiria apange Maulana

Atanitunukia bado naula ujana

[Queen Darleen]

Ujana maji ya moto, utakuunguza (nitakuunguza)

We pita peku mpoto tutakuuguza

Kwanza kuolewa raha

Oh nah nah wili wili

Ona mume wangu hii spa

Atumiliki wawili wili

[Lava Lava]

Umenikumbusha kule Insta udaku

Wanasema mume umekwara

Ati umefuata hela

Ukakubali kuolewa mitara

Hutanishauri mimi, wakati wangu ndo sasa

Mimi mtoto wa mjini

Kula bila shida chini, acha nile bata

Nijipe stress za nini?

[Lava Lava]

Bora niwe bachela

Sitaki kujifunga funga, kujibana bana

Niwe bachela

Kwanza naona mapenzi, faida hayana

[Queen Darleen]

Bora niwe bachela eh

Huo ni utoto unajidanganya

Niwe bachela

Unayoyafanya mwisho hayana

Bora niwe bachela!

[Lava Lava]

Dada Darleen acha kunichachafya

Uliza kilomkuta Dangote

Sijui kangombana na Tanasha

Ametu-unfollow wote

[Queen Darleen]

Mapenzi ya siku hizi

Shemeji Lokole mwongoza umbea

Mkigombana tu kashatizi

Insta nzima yameshaenea

[Lava Lava]

Ndio maana nimetulia

Navuta pumzi staki kwenda mbio

Mambo ya kujifanya hodari eti mjuzi

Ujuzi huo kwio

[Queen Darleen]

Tukiachana na yote

Mimi bado sikuungi mkono

Wasafi wote

Mnaonekana mnapenda ngono (Duu)

[Lava Lava]

Hutanishauri mimi, wakati wangu ndo sasa

Mimi mtoto wa mjini

Kula bila shida chini, acha nile bata

Nijipe stress za nini?

[Lava Lava]

Bora niwe bachela

Sitaki kujifunga funga, kujibana bana

Niwe bachela

Kwanza naona mapenzi, faida hayana

[Queen Darleen]

Bora niwe bachela eh

Huo ni utoto unajidanganya

Niwe bachela

Unayoyafanya mwisho hayana

[Lava Lava]

Mabachela piga kelele (weee)

Piga kelele moja (weee)

Kelele mbili (weee weee)

Piga kelele tatu (weee...)

[Queen Darleen]

Wenye wapenzi piga kelele (weee)

Walio oa (weee)

Tulio olewa je? (weee...)

(Abby Daddy)

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Queen Darleen
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili
  • Genre:Pop-Folk
Queen Darleen
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved