current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Kiza Kinene lyrics
Kiza Kinene lyrics
turnover time:2024-06-24 08:12:11
Kiza Kinene lyrics

Kimambo on the beats

[Nandy]

Kiherehere kimeniisha

Eeh nimekuwa simulizi kwa penzi wako

Waninanga wee

Zaidi yanisikitisha

Eti nimekuwa chuma cha kafuro

Nipo juu ya mawe

Jikoni kwangu kaingia mdudu gani?

Mara kwenye kikombe mara sahani

Ona katibua maji kisimani

Oooh salala

Huenda sio fungu langu nimekosea kuchagua

Masala

Nimezidisha chenji kimeota nyasi

Mbaghala

Nilipita dirisha nafasi kuigombania

Ah baba

Kumbe basi limejaa na mlango upo

Haioni mboni yangu (kiza kinene)

Kibatari utambi umetumbukia (kiza kinene)

Yaila ghidira yangu (kiza kinene)

Nimepekechwa nguzo niliyoegemea (kiza kinene)

[Sauti Sol]

I've been trying not to diss you

Mwenzako mimi nilikuwa sina issue mpenzi

Hope uko sawa, my darling

And I've been trying not to miss you

Ila unapoenda kutwa yangu maumivu

We yangu dawa, ooooh ooh

Chumbani kwangu kaingia kunguni gani?

Mara kwenye kitanda mara kwa shati

Aii, haya ni maruani

Yanafanya nakosa amani

Oooh salala

Huenda sio fungu langu nimekosea kuchagua

Masala

Tushazamisha meli yameisha

Mabega

Nitaambia nini waingo mukhana tire na

Ingababwa

Nina mafeelings ingawa sijiwezi

Hayaoni macho yangu (kiza kinene)

Koroboi utambi umetumbukia (kiza kinene)

Yaila ghidira yangu (kiza kinene)

It never gonna be the same

No No No No oooh (kiza kinene)

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Nandy
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:Folk
Nandy
Nandy Featuring Lyrics
Nandy Also Performed Pyrics
Latest update
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved